• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MZEE Mshauri wa Mahanje SACCOS awafunda viongozi wa bodi

Posted on: October 13th, 2023

Leo Oktoba 13 Mahanje SACCOS  wamefanya mkutano mkuu wa mwaka na kufanya uchaguzi wa viongozi wa wajumbe wa bodi,Kamati ya  usimamizi na mjumbe  mwakilishi wa mkutano mkuu Halamshauri ya Madaba.

Mzee mshauri wa Mahanje SACCOS  Makaria Lupogo akizungumza mara baada ya uchaguzi huo amesema wanachama hao wahakikishe wanakopa na kulipa kwa wakati itapelekea kufanikisha malengo ya SACCOS hiyo.

“Siyo leo mnakopa halafu hamlipi mnahangaika kwenda kukopa kwingine sisi hii SACCOS imetulea na tumesomesha watoto wetu”.

Lupogo amewapongeza viongozi waliochaguliwa wafanye kazi na kuhakikisha SACCOS hiyo inasonga mbele.

Kwa upande wake Diwani wa Kata ya Mahanje Stephano Mahundi amesema  amekuwa  mwenyekiti wa kamati ya usimamizi wa SACCOS kwa kipindi cha miaka  6 na mjumbe wa kamati ya bodi kabla ya kuwa Diwani wa Kata ya Mahanje.

Mahundi amewaasa viongozi  waliochaguliwa kuwa wamepewa nafasi ya kusimamia kazi  ikiwa watu wengi wanaitazama hivyo wafanye kazi kwa weledi ili SACCOS hiyo iweze kufanya vizuri.

Kutoka kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Oktoba 13,2023.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa