• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MWENYEKITI Madaba niwapongeze Walimu wa Mkwera Mazingira ya Shule Masafi

Posted on: September 22nd, 2023

SHULE ya Msingi Mkwera Kata ya Lituta Halmashauri ya Madaba wamefanya Mahafari ya kuwaaga wanafunzi wa Darasa la Saba 56 waliohitimu masomo yao mwaka huu 2023.

Mgeni  rasmi katika hafla hiyo Mbunge wa Jimbo la Madaba Joseph Mhagama amewakilishwa na Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Teofanes Mlelwa amewapongeza wanafunzi hao kwa kuhitimu masomo yao kwa mda wa miaka 7.

Mlelwa amewapongeza walimu kwa kazi kubwa pamoja na kutoa maagizo kwa wanafunzi watakaofaulu wahakikishe wanajiunga na Elimu ya Sekondari Januari 2024.

“Niwapongeze walimu niliwahi kufika hapa Shuleni,Mazingira ya hapa ni masafi yanapendeza“.

Makamu Mwenye Kiti wa Halmashauri hiyo Olaph Pili ambaye ni Diwani wa Kata ya Lituta amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muunga wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha kwaajili ya ukarabati wa Shule hiyo na ujenzi wa Madarasa Mapya shilingi Milioni 40.

“Shule hii ina Mazingira Mazuri ya Kusomea kwaajili ya Mapenzi ya Mama ameboresha mazingira haya“.

Hata hivyo Pili amesema Serikali ilileta Fedha kwaajili ya Ujenzi wa vyoo vya kisasa kupitia Mradi wa SWASH na kupelekea wanafunzi kupata mazingira Mazuri ya kujisomea hatimaye kufanya vizuri katika Mitihani ya Darasa la Nne na Darasa la Saba kwa asilimia 100.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Septemba 22,2023.

 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa