• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MWAMPAMBA aongoza Kikao cha kutoa maoni ya dira ya Taifa ya Maendeleo 2026/20250

Posted on: August 13th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Songea Kapenjama Ndile amewakilishwa na Katibu tawala Wilaya ya Songea Mtela mwampamba ameongoza kikao cha Kujadili na kutoa maoni ya Dira yaTaifa ya  maendeleo  ya mwaka 2026/2050.

Kikao hicho kimefanyika katika ukumbi wa Manispaa ya Songea ikijumuisha Halmashauri tatu za Wilaya ikiwemo Manispaa ya Songea,Halmashauri ya Songea na Madaba.

Mwampamba akizungumza katika kikao hicho cha kutoa maoni amesema dira ni mwongozo unaowafanya Watanzania waishi kwa mtindo waliouweka katika kuongoza  Taifa.

“Dira ya Taifa ya  maendeleo inaweza kuwa ya mda mfupi  miaka mitano,mda wa kati miaka 25, na mda mrefu miaka 50 hadi 75”.

Amesema katika nchi ya Tanzania mara baada ya kupata Uhuru 1961 hakukuwa na dira ya Taifa ya maendeleo kilichokuwa kinafanyika ni kuhakikisha mambo yanafanyika kulingana na wakati  uliopo.

“Wazee wangu mnajua kwamba tulikuwa na sera zetu na maadhimio ya Arusha ,kilimo hatukuwa na dira ya Taifa ya maendeleo ya kutuongoza tulipofika mwaka 1980 tuliona tuwe na dira ya Taifa”.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Agosti 12,2024.                       

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa