• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MUHIFADHI Shamba la Miti Wino Madaba kwa wananchi kuepuka kuchoma Misitu

Posted on: November 15th, 2023

Muhifadhi Mkuu wa Shamaba la Miti Wino Halmashauri ya Madaba  Grory Fotunatus amesema shangamoto zinazolikabili shamba hilo ukiwemo uchomaji wa moto.

Hayo amesema katika kikao cha wadau wa Misitu kilichoongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanal Laban Thomas ambapo amewakilishwa na Mkuu wa Wilaya ya Songea Wilman Ndile.

Hata hivyo amezitaja changamoto ya moto inayosababisha  kupunguza jitihada za usimamizi wa Shamaba ikiwemo msimu wa kilimo ikiwa mwaka 2016 ziliungua hekta 600 na 2020/2021 ziliungua hekta zaidi ya  1000.

Amesema changamoto hizo zilisababishwa na uandaaji wa mashamba ikiwa mwaka huu 2023 kikosi kilipambana na moto na watu wanne walipata ajali ya moto na mmoja alipoteza maisha baada ya kupelekwa Hospitali ya Taifa Muhimbili na watatu bado wanapatiwa matibabu.

Fotunatus amesema katika kukabiliana na janga hilo la moto uongozi wa shamaba wamejitaidi kutoa Elimu na vifaa mbalimbali kwa jamii mawasiliano baina ya uhifadhi na wananchi.

“Tumekuwepo na kikosi maalumu cha kupambana na kuzuia moto pindi unapotokea na kufanya kazi za kinga moto ndani ya shamba na nje ya shamba katika kuboresha na kuhakikisha moto hautokei ndani ya shamba”.

Amesema shamba la miti Wino linaendelea kuwaomba wadau kuepuka kuchoma moto maeneo hatarishi wakati wa uandaaji wa shamba na kuwataka kufanya maandalizi mazuri ya barabara kinga moto.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Novemba 12,2023.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa