• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MSIMAMIZI wa uchaguzi madaba atoa ufafanuzi wa uchukuzi na urejeshaji wa fomu

Posted on: October 17th, 2024

Msimamizi wa uchaguzi halmashauri ya Wilaya ya Madaba Sajidu Idrisa Mohamed ametoa ufafanuzi wa mabadiliko ya tarehe ya uchukuaji na urejeshaji  wa fomu za uteuzi na ukomo wa viongozi wa Serikali za mitaa za vijiji pamoja na masuala ya uapishaji wa mawakala.

Ufafanuzi huo ameutoa katika kikao na viongozi wa vyama vya siasa katika halmashauri hiyo  kuendea uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakao fanyika Novemba 27,2024.

Hata hivyo msimamizi wa uchaguzi amesema maoni mbalimbali yanayoendelea kutolewa na wadau, nayo Serikali imeendelea kutoa miongozo mbalimbali pamoja na kusisitiza matumizi sahihi ya Sheria za uchaguzi ili kuhakikisha uchaguzi unaendeshwa kwa uhuru na haki.

Aidha amezitaja tarehe za mabadiliko ikiwemo fomu za uteuzi kwa wagombea zitaanza kutolewa na kurejeshwa kuanzia Oktoba 26 ,2024 hadi Novemba  1,2024 badala ya tarehe 1,hadi 7 Novemba.

“Ukombo wa viongozi wa Serikali za Vijiji ratiba ya awali ulionyesha oktoba 25,2024  hivyo uongozi wa Serikali za Vijiji utakoma oktoba 19,2024 hii ni kutoa fursa viongozi  madarakani kuweza kupata fursa ya kuchukua fomu kwa wakati na kurejesha kwa wakati”.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa