• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MSIMAMIZI wa uchaguzi Madaba atoa maelekezo ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Posted on: September 30th, 2024

MSIMAMIZI wa uchaguzi  Halmashauri ya Wilaya ya Madaba  Sajidu Idrisa Mohamed  ametoa maaelekezo ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa wasimamizi ngazi ya vijiji,Kata , Halmashauri,na wawakilishi wa vyama vya siasa pamoja na viongozi wa dini.

Zoezi hilo limetolewa katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ikiwa ni takwa la  kisheria la kuwajulisha wananchi kupata maelekezo  siku 62 kabla ya tarehe ya uchaguzi  kwa lengo la kuhakikisha taratibu zote zinafuatwa kwa wapiga kura na wagombea.

Hata hivyo amezitaja tarehe muhimu za kujiandikisha katika daftari la kudumu na tarehe za kuanza kwa kampeni na tarehe ya uchaguzi utakaofanyika mwaka huu 2024.

“Zoezi la kujiandikisha katika daftari la wapiga kura litaanza Oktoba 11 hadi 20,2024,Kampeni zitaanza Novemba 20 hadi 26,2024 na uchaguzi utafanyika Novemba 27,2024”.

Aidha ametoa wito kwa wananchi wote kujitokeza kushiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa na kuzingatia kila jambo linalohusu uchaguzi kwa utulivu na  kuzingatia 4R za Mhe.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr.Samia Suluhu Hassan.

Nao viongozi wa vyama vya Siasa wilioshiriki katika zoezi hilo wametoa pongezi kwa kushirikishwa  na kupewa taarifa kwa wakati hivyo wameahidi kwenda kutekeleza yote yanayopaswa kutekeleza na kutoa ushirikiano kwa amani na utulivu.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Septemba 26,2024.

                                             

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa