• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MRADI wa Boost watambulishwa kwa wananchi wa Kata ya Mtyangimbole na Gumbiro

Posted on: April 25th, 2023

WATAALAM wa Halmashauri ya Madaba wametambulisha mradi wa Boost katika Kata ya Mtyangimbole na Kata ya Gumbiro.

Akizungumza katika Mkutano wa wananchi Afisa Elimu Msingi na Awali Saada Chwaya amesema mradi wa Boost katika Kata ya Mtyangimbole upo katika Shule ya Msingi Ngembambili ambapo madarasa mawili yatajengwa na matundu ya vyoo matatu na fedha iliyotengwa ni shilingi Milioni 53,100,000/=.

Katika Shule ya Ngadinda iliyopo kata ya Gumbiro amesema yatajengwa Madarasa 2 na matundu ya vyoo 3 sawa na shilingi Milioni 53,100,000/= Fedha hizo  zimekwisha ingia  katika account ya Shule.

Kwa upande wake Afisa Maendeleo katika Halmashauri hiyo Bashiru Mgwasa amezungumza katika mkutano huo uliojumisha  kata 2 ametaja majukumu ya  wananchi  katika utekelezaji wa mradi ikiwa ni pamoja na  kusafisha eneo la ujenzi,kuchimba msingi pamoja na  kuchimba shimo la choo.

Diwawni wa Kata ya Mtyangimbole Erick Mkolwe amehamasisha wananchi hao kuhakikisha wanakuwa na umoja na mshikamano katika utekelezaji wa ujenzi wa miradi hiyo ili kuhakikisha wanamaliza kwa wakati ili Serikali iweze kuwaletea miradi mingine.

Naye Diwani wa Kata ya Gumbiro Gustaph Tindwa ametoa rai kwa wananchi wa Kata hiyo kuanza utekelezaji wa mradi huo mara moja ikiwa fedha zimekwishaingia katika accont ya Shule.

Kutoka ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Madaba

Aprili 25,2023.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa