• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Brig Jen Ibuge akabidhiwa ofisi leo

Posted on: May 25th, 2021

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma  Brig. Jen. Wilbert Ibuge amekabidhiwa ofisi na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme ambaye kwa sasa ni Naibu katibu Mkuu wa CCM Tanzania Bara.

Ibuge baada ya kukabidhiwa ofisi hiyo amesema  watumishi wa serikali na viongozi ni viungo vya kuwasaidia na kutetea maslahi ya wananchi wa Ruvuma na watanzania ili kuhakikisha Mkoa unakuwa salama na Tanzania kwa ujumla.

“Naombeni watumishi wenzangu tuwe wamoja kwaajili ya maslahi ya wanaruvuma ambao tumedhaminiwa kuwatumikia kwa lengo la maendeleo na wananchi waendelee kuiamini serikali yao waliyoiweka madarakani kwa kishindo  kama hatuta pigania haki na usalama wao tutakuwa tumepotoka “.

Hata hivyo Ibuge ameendelea kuwasisitiza viongozi wote wa mkoa kuwa daraja ya kuwatumikia watanzania na amemshukuru aliyekuwa Mkuu wa Mkoa kwa kumpokea na kumwachia Mkoa na ameahidi kuutumikia Mkoa huo kwa ukamilifu.

Mndeme akimpongeza Ibuge kwa kuteuliwa na Rais Samia na amemkabidhi watumishi wa Ofisi hiyo na kuwaomba kumpa ushirikiano kwa kujituma.

“Nawaomba mfanye kazi kwa kujituma  zaidi ya nilivyokuwepo mimi kila mtu kwa nafasi yake anapohitajika katika shuguli za utekelezaji wa maendeleo ya Mkoa wa Ruvuma na kumpa ushirikiano Mkuu wa Mkoa“.

Mndeme akisoma taarifa ya makabidhiano amesema mafanikio yaliyopatikana nikutokana na  ushirikiano aliopata kutoka kwa Wakuu wa Wilaya,Kamati ya ulinzi na usalama,Wakuu wa taasisi ,viongozi wa chama pamoja na wananchi kwa ujumla.

Amesema taarifa hiyo imezingatia Ilani ya  chama cha mapinduzi ya mwaka 2015-2020 katika ngazi zote Serikali kuu na mamlaka katika serikali za mitaa imeainisha  ,kuondoa umaskini,kupunguza tatizo la ajira kwa vijana,kuendeleza mapambano dhidi ya adui rushwa, ubadhilifu wa mali za umma na kudumisha amani na usalama wa raia pamoja na mali zao.

Mndeme amesema kwa kipindi cha mwaka 2015-2020 taarifa hiyo imezingatia utekelezaji wa dira ya maendeleo  ya Taifa ya mwaka 2021-2025 mpango wa maendeleo ya Taifa ya miaka mitano,na mpango wa maendeleo wa miaka 5 wa kupunguza umaskini na kuongeza uchumi.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Afisa habari Halmashauri ya Madaba

Mai 25,2021.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa