• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

Mkuu wa Mkoa azindua Tamasha la Majimaji Selebuka

Posted on: June 1st, 2022

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge amezindua tamasha la msimu wa nane la Majimaji selebuka katika viunga vya makumbusho ya majimaji mjini Songea

Akizungumza katika uzinduzi huo amesema tamasha litahusisha mambo mbalimbali ikiwemo kuchochea utalii pia ni fursa muhimu kwa vijana kuibua vipaji.

“Jitihada zinazoongeza thamani ya kuleta tija kama Mkoa ili tuongezeke kimaendeleo zote tutaziunga mkono tangu tulipoanzisha tamasha hili 2014 malengo yake hayajawai kubadilika kila msimu majimaji Selebuka limekua jukwaa la kibiashara la kuwawezesha wajasiliamali kutambulika kwa bidhaa wanazozizalisha”, amesema RC Ibuge.

RC Ibuge amesisitiza wafanyabiashara na wajasiliamali katika tamasha hili muhimu litumike kama kipindi chema cha mavuno na ni fursa ya kuboresha kipato.

Hata hivyo RC Ibuge ametoa wito kwa wananchi wa Mkoa wa Ruvuma kushiriki Sensa ya watu na makazi inayotarajiwa kufanyika Agosti 23 2022.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Ruvuma Ndugu Odo Mwisho amesema mkoa umekuwa mashahidi jinsi unavyo faidika na tamasha hili pia amewapongeza watendaji kwa kutoa matangazo na kuhamasisha

Tamasha la majimaji selebuka linatalajiwa kufanyika tarehe 23 hadi 30 Julai 2022 lengo kuu likiwa kuinua uchumi na kuutangaza utalii wa mkoa.

Imeandaliwa na Bahati Nyoni na Jackson Mbano

Kitengo cha Mawasiliano Serikalini

Mei 31 2022.

 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa