• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MKIMBIZA Mwenge kitaifa afurahishwa na uhifadhi wa Misitu Wino

Posted on: April 19th, 2023

KIONGOZI wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Abdalla Shaib Kaim amezindua chanzo cha maji kilichopo katika shamba la Miti wino.

Kaim mara baada ya kukagua ametoa pongezi za dhati kwa kazi nzuri zinazofanyika na Wakala wa Misitu Wino (TFS) ikiwa ni pamoja na kutoa elimu kwa wananchi pamoja na kutoa miche kwa wananchi.

Kiongozi huyo amewapongeza wanakijiji cha Wino kwa kuhamasika kupanda miti katika maeneo mbalimbali na kutunza vyanzo vya maji.

“Hongereni wanakijiji kazi nzuri,sambamba na hilo  Mh.Mkuu wa Wilaya tuendelee kuwaelimisha wananchi Mbio za Mwenge wa Uhuru 2023 zimebeba ujumbe unaohusiana na mabadiliko ya tabia ya nchi uhufadhi wa mazingira kupitia kauli mbiu isemayo tunza mazingira,okoa vyanzo vya maji kwa usalama wa viumbe hai na uchumi wa Taifa”

Meneja wa Shamba la Miti Wino Grory Kasmir akisoma taarifa kwa kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2023 amesema shuguli  za uhufadhi zinazotekelezwa ikiwa ni pamoja na uzalishaji wa miti  2022/2023 hifadhi ya mistu imeweza kukuza miche milioni   7,683,861 na kuwagawia wananchi miche milioni 692,735.

Muhifadhi amesema sambamba na hilo wametoa elimu ya uhifadhi kwa jamii vyanzo vinavyotaka kutoweka ikiwa ni pamoja na mto mgombezi,kineneka,lupahila ,mnywamasi ,lutukila na chechengu pamoja na kuboreha madhari na kupanda miti maeneo yenye uoto wa nyasi .

Kutoa kitego cha Habari Halmashauri ya Madaba

Aprili 19,2023.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa