• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MKETO azindua maonyesho ya Bidhaa ya wajasiliamali Ruvuma

Posted on: September 29th, 2021

KATIBU Tawala msaidizi Rasilimali watu wa  Mkoa wa Ruvuma  Bakari Ally Mketo amezindua maonyesho ya bidhaa za Kitanzania na kuwaasa akina mama kuwaheshimu waumezao.

Hayo amezungumza katika kongamano hilo na kutoa rai kwa wanawake wajasiliamali kulinda familia zao maana wanawake wengine mara baada ya kujipatia kipato kukosa uaminifu katika familia zao.

Akizungumza katika Kongamano hilo linaloendelea kufanyika katika Viwanja vya Bustani ya Manispaa ya Songea amesema Serikali inatambua mchango wa wanawake katika kukuza na kuimarisha Uchumi wa Nchi.

Mketo amesema maonyesho haya ni sehemu ya kutambua mchango wa wanawake katika biashara na ujenzi wa uchumi wa Taifa na kuwapa nafasi wanawake wafanyabiashara,kuwajengea uwezo kupitia mafunzo ya usindikaji,kubadilishana taarifa za kibiashara,uwekezaji,kujifunza,kurasimisha biashara pamoja na kuunganishwa na Taasisi mbalimbaliza.

“Wakati natembelea mabanda ya maonyesho nimejionea ubora wa bidhaa na huduma nyingi ambazo wanawake kutoka Ruvuma na Mikoa mingine mnazalisha

Hata hivyo Mketo amesema amewasihi wanawake kuendelea kuzalisha bidhaa zenye viwango ili kukidhi mahitaji ya soko pamoja na ushindani unapoongezeza na thamani ya biashara inaongezeka kuliko kuuza mazao kama yalivyo.

Mketo ametoa wito kwa wanawake kuhakikisha wanaitumia TWCC kwani ni chama kikubwa ,ni mtandao wa wanawake ambao uponchi nzima ambao ni kiunganishi kati ya Serikali na Wanawake wafanyabiashara Tanzania.

Mwenyekiti wa Chama cha wanawake Mkoa wa Ruvuma Xsaveria Mlimira akisoma Lisala kwa mgeni rasmi ameeleza changamoto wanayopata ni pamoja na mikopo inayotolewa kwenye vikundi  haikidhi mahitaji na kutofikia malengo ya Tanzania ya Viwanda.

Mlimira ameeleza mafanikio waliyopata wanawake ikiwemo kufungua ofisi ya Mkoa ambayo ipo katika eneo la Kanisa la Anglikani pamoja na kufanya kongamano kubwa la wajasiliamali  la wanawake Mkoa wa Ruvuama  lilifanyika Agasti 25,2020, na kupata elimu kutoka Sido,TBS, na Taasisi za kifedha.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Afisa habari Madaba

Septemba 29,2021

 

 

 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa