• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MILIONI 90 yabadilisha muonekano wa Shule ya Msingi Wino

Posted on: January 23rd, 2024

SERIKALI ya Awamu ya sita imeleta fedha kiasi cha shilingi Milioni 360,000,000 kwaajili ya ukarabati wa Madarasa  24 Halmashauri ya Madaba.

Fedha hizo zimepelekwa katika shule za Msingi ya Matetereka,Ifinga,Wino na Luhimba ikiwa kila shule imepewa Milioni 90 kwaajili ya ukarabati wa madarasa 6.

Kamati ya Fedha Halmashauri ya Wilaya ya Madaba wametembelea shule ya Msingi Wino ambapo ukarabati wa madarasa hayo umefikia asilimia 90 na baadhi ya madarasa yameanza kutumika.

Mtendaji wa Kata ya Wino Paskina Mhagama katika ziara hiyo amewashukuru viongozi kwa kupeleka fedha na kubadilisha muonekano wa Shule hiyo ikiwa wanafunzi wanapenda kusoma katika shule hiyo.

“Tunamshukuru Rais Samia  na Mbunge wa Jimbo la Madaba kwa kutuletea fedha zimebadilisha muonekano wa shule”.

Hata hivyo Mtendaji ameomba  kwa awamu nyingine kwa viongozi kutoa fedha kwaajili ya ukarabati wa madarasa yaliyobaki  ikiwa  watoto wanakataa kusomea katika madarasa ambayo  hayajakarabatiwa.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halamshauri ya Madaba

Januari 23,2024.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa