• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MILIONI 40 zilizotolewa na Serikali zajenga madarasa mawili Madaba

Posted on: November 27th, 2022

HALMASHAURI ya Madaba inatekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo mradi wa ujenzi wa Shule ya Sekondari Nguluma unagharimu kiasi cha Shilingi milioni 40.

Akitoa taarifa hiyo Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Sajidu Idrisa Mohamed  kwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanal Laban Thomas  alipotembelea Shule hiyo amesema Halmashauri ilipokea shilingi milioni 40 mnamo octoba 1,2022 kutoka Serikali kuu.

“Ujenzi wa vyumba viwili vya Madarasa umefikia hatua ya ukalimishaji pamoja na viti na meza 100,ujenzi ulianza rasmi oktoba 28,2022 na hadi sasa umefikia hatua ya ukamilishaji”.

Mkurugenzi amesema mradi huo wa vyumba viwili vya madarasa utasaidia kuleta manufaa makubwa kwa jamii na Taifa pamoja na kupata madarasa bora kwaajili ya kufundishia na kujifunzia na kupunguza changamoto  ya ukosefu wa vyumba januari 2023.

Amesema upatikanaji wa samani kwaajili ya matumizi ya wanafunzi wawapo darasani utasaidia wanafunzi kupata kujisomea kwa bidii ikiwem na miundombinu bora kuwavutia wanafunzi kuhudhuria masomo.

“Wananchi wanapata matumaini kwa Serikali yao kwa vile wanaona inavyowahudumia kwa miundombinu bora”.

Hata hivyo amesema madarasa hayo yatasaidia  na kuwezesha wanafunzi watakaoanza kidato cha kwanza Januari 2023 kupata nafasi wote kutoka katika Shule mbalimbali nchini.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Kitengo cha Habari Halmashauri ya Madaba

 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa