• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MIAKA miwili ya Mama Madarakani Wafanyabiashara Madaba wapata huduma ya TRA

Posted on: March 20th, 2023

SERIKALI ya awamu ya sita imesikia kilio cha  wananchi wa Halmashauri ya Madaba cha kufuata huduma ya malipo ya kodi  zaidi ya kilomita 120.

Meneja wa  Mamlaka ya Mapato Mkoa wa Ruvuma Nikodemas Mwakilembe amesema kwa mda mrefu wafanya biashara wamepata changamoto kufuata huduma Mjini Songea ikiwa leo wamefungua ofisi ya Mamlaka ya Mapato  Tanzania(TRA) katika Halmashauri hiyo.

Ufunguzi wa ofisi  umefanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkurugenzi nakuambatana na  hafla fupi,ikiwa  ofisi  za Mamlaka ya Mapato  katika Halmashauri hiyo zitapatikana katika jengo la Ofisi  ya Mkurugenzi wa Halmashauri.

 “Ndugu wafanyabiashara wa Halmashauri ya Madaba leo tumekutana kwaajili ya ufunguzi wa Ofisi ya Mapato kutokana na mahitaji ya mda mrefu,Serikali ya Awamu ya Sita imesikia kilio chenu mkitembea umbali wa  kilomita zaidi ya 120 mpaka Songea kutafuta huduma”.

Mwakilembe amemshukuru Mkurugenzi kwa kuwapokea na kuwapatia Ofisi ambazo zitasaidia wananchi na wafanyabiashara wa Madaba kwa urahisi na kuepuka changamoto ya kufuata huduma Songea.

Kwa upande wake aliyekaimu nafasi ya Mkurugenzi Sajidu Idrisa Mohamed ambaye ni Mkuu wa Idara ya Kilimo Joseph Mrimi katika uzinduzi huo amesema Ofisi ya Mkurugenzi ni miongoni mwa taasisi ya Serikali ambayo inatoa huduma kwa wananchi.

“Uwepo wa Ofisi ya TRA sisi kwetu Halmashauriri ya Madaba tutashirikiana katika kutoa huduma ikiwa ofisi ya Mkurugenzi tunatoa Lesen ya Biashara hivyo tutakuwa bega kwa bega kuwafikia wananchi”.

Makamu Mwenye kiti wa Wafanya biashara Mkoa wa Ruvuma Alhaji Issa Athumani katika uzinduzi huo ameipongeza Serikali ya awamu ya Sita kwa kuanzisha ofisi katika Halmashauri ya Madaba na kuwapunguzia umbali mrefu kutafuta huduma hiyo.

“Niseme tu hii ni fursa kwasababu maafisa kuanzia sasa watakuwepo  hapa na shughuli zenu wataziona ikiwa kulipo kodi ni haki hata vitabu vya Dini vimeelekeza”.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Mkurugenzi  Halmashauri ya Madaba

Machi 20,2023.

 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa