• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MGOGORO wa mpaka wa Songea Vijijini na Madaba kumalizika kabla ya Mwaka 2023 Kuisha

Posted on: November 11th, 2023

MKUU wa Wilaya ya Songea Wilman Ndile amewahakikishia Madiwani wa Halmshauri ya Wilaya ya Madaba kumaliza mgogoro wa mpaka wa Songea Vijijini na Madaba kabla ya Mwaka 2023 kuisha.

Hayo amezungumza katika kikao cha Baraza la Madiwani cha robo ya kwanza ya Mwaka 2023/2024 amesema Halmashuri ya Madaba inamwelekeo mzuri ikiwa hakuna jambo linalovunja moyo.

“ Mkuu wa Mkoa ameniagiza ofisi yake ikotayari kutoa ushirikiano wa asilimi zote  mnapopata changamoto ikiwa jambo la mpaka wa Songea Vijijini na Madaba unaathiri mapato”.

Ndile amesema jambo hilo la mpaka linafanyiwa kazi kwa kina ili kuhakikisha mgogoro huo hauathiri kuingiza mapato kwa Halmashauri ya Madaba kwa kudai vijiji na vitongoji vipo upande wa Songea Vijijini.

“Nilimpa mrejesho Mkuu wa Mkoa na nilisisitiza Halmashauri ya Madaba ndio wenye haki ikiwa haina sababu ya kuegemea upande mmoja Wilaya ya Songea yote nasimamia mimi”.

Hata hivyo amesema Kamishna wa Ardhi Mkoa wa Ruvuma  amejiridhisha na wataalam kwa kuzingatia ramani na nyaraka zote.

Kutoka kitengo cha Mawasilino Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Novemba 11,2023.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa