• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MBUNGE wa Jimbo la Madaba alivyotembelea Hospitali ya Wilaya

Posted on: February 23rd, 2024

MBUNGE wa Jimbo la Madaba Joseph Mhagama ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ametembelea Hospitali ya Wilaya iliyojengwa kwa zaidi ya shilingi Bilioni tatu na kuanza kutoa huduma.

Mhagama amesema katika kamati hiyo anasimamia Wizara tano hivyo bado amekuwa kinara katika kuhakikisha Jimbo la Madaba linasonga mbele katika utekelezaji wa ujenzi wa miradi mbalimbali ya Serikali ambayo inaletwa Madaba.

Mbunge amewashukuru Viongozi wa chama cha Mapinduzi kwa kuonyesha ushirikiano pamoja na watumishi wa Halmashauri ya Madaba wanaoongozwa na Mkurugenzi Mtendaji Sajidu Idrisa Mohamed kwa ushirikiano wanaouonyesha katika utendaji kazi.

“Nimepewa jukumu kubwa la kusimamia uchaguzi wa Rais wa Bunge la Dunia kama Mwenyekiti nimeongoza Nchi zote 180 Dkt Tulia Akson ni Rais wa Mabunge Duniani tumefanya jambo kubwa kuleta heshima kwa Nchi hii”.amesema Mhagama.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Madaba Teofanes Mlelwa amempongeza Mbunge wa Jimbo la Madaba kwa kuhakikisha Madaba inakuwa na Hospitali ya Wilaya na vituo vya Afya vitatu.

“Mbunge tunakushuru kwa kuhakikisha hata Zahanati zetu zinapata fedha na vituo vya Afya hizo ni juhudi zako pamoja na Rais tulikuwa hatuna ndoto ya kuwa na Hospitali ya Wilaya”.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Februari 23,2024.       

 

 

 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa