• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MBUNGE Mhagama atoa rai kwa wananchi kujenga nyumba bora

Posted on: July 18th, 2024

Mbunge wa jimbo la Madaba Joseph Mhagama ametoa rai kwa wananchi wa Madaba wahakikishe wanajenga nyumba bora ili waweze kuwapangisha wageni mbalimbali wakiwemo  watumishi wa umma.

Hayo amezungumza katika ziara yake ya siku ya nne katika akiwa ndani ya Jimbo lake na kata ya Lituta alipokagua nyumba ya mwalimu katika shule ya Msingi Kifaguro iliyojenjwa kwa shilingi milioni 50 na vyumba viwili vya madarasa ya awali vilivyojengwa kwa zaidi ya shilingi milioni 55 kupitia mradi wa  LANES II.

Afisa Elimu Msingi vifaa na takwimu Raphael Kibirigi amemshukuru Rais Samia na Mbunge wa Jimbo la Madaba kwa kutoa fedha nyingi za ujenzi wa miundombinu ya elimu.

“Kama mnavyoona tumepata fedha na tumejenga madarasa ya kisasa watoto wanabembea na wanasoma katika mazingira mazuri”.

Imeanadaliwa na Aneth Ndonde 

Kutoka Kitengo cha Mawasailaiano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba 

Julai 18,2024.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa