• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MATUKIO ya Ukatili 442 yalipotiwa Ruvuma kwa kipindi cha Miezi 6

Posted on: December 10th, 2022

Maadhimisho ya siku  16 za kupinga ukatili wa Kijinsi  na Wiki ya watoa msaada wa kisheria yamefungwa rasmi Mkoani   Ruvuma.

Mkuu wa Wilaya ya Songea Pololeth Mgema akiwa mgeni rasmi akimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanal Laban Thomas katika uhitimishaji wa siku 16  za kupinga ukatili wa kijinsia na wiki ya Msaada wa Kisheria yamefanyika katika Kata ya Ruvuma Manispaa ya Songea.

Mgema ameyataja madhara ya ukatili wa kijinsia kama vile ulemavu wa kudumu,kupoteza maisha tatizo la hakili,umasikini mkubwa unaotoka na kuto timiza wajibu wa kufanya kazi, na kuongezeka  kwa watoto wa mtaani.

“Madhara  hayo ya ukatili wa kijinsia yanasababisha madhara makubwa kwa maendeleo ya Taifa letu “.

Hata hivyo ametoa rai kwa kila mwananchi katika kijiji,Mtaa anaoishi kuwa salama na anapoona kuna swala la kikatili limetokea ahakikishe anatoa taarifa kwa vyombo vinavyotoa haki.

Afisa maendeleo wa Mkoa wa Ruvuma Xsaveria Mrimila akisoma taarifa ya  hali ya ukatili wa kijinsia na Msaada wa Kisheria amesema Ukatili wa Kijinsia kwa watoto kwa lengo la kumdhuru au kumuumiza kisaikolojia Kimwili,kiafya,kingono na kiuchumi.

Mrimila amesema hali ya ukatili na matukio ya ukatili wa kijinsi kwa mwaka 2022 kwa mkoa wa Ruvuma yaliyobainika  kwa kipindi cha miezi 6 katika Jeshi la polisi 442.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Madaba

Desemba 10,2022.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa