• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

Masile SACCOS Mbeya walivyojifunza Mahanje SACCOS Nane nane Mbeya

Posted on: August 5th, 2024

Meneja wa  Masile SACCOS Mbeya  Rodina Mbwaga ametembele Mahanje SACCOS Madaba  na timu yake kwa lengo la kujifunza katika maonesho ya Nane nane Mbeya.

Meneja wa Mahanje SACCOS Kassim Masengo akizungumza na watumishi wa SACCOS hiyo amewakaribisha kwaajili ya kujipatia elimu mbalimbali ikiwa Mahanje SACCOS ilianzishwa mwaka 1998 ikiwa na wananchama 68 na mtaji ulianzia shilingi elfu 68,000/=.

Masengo amesema hadi kufikia mwaka huu  Juni ,2024 Mahanje SACCOS inawachama 1669 wameweza kukusanya akiba za wananchama  zaidi ya shilingi milioni 400,amana za wananchama milioni 322.1,hisa za wananchama  Milioni 140.5,akiba maalumu milioni 33.

“Kwa upande wa mikopo ni jumla ya shilingi milioni 776.1zimetolewa kwa wananchama  na tumegawanya katika makundi,mkopo wa kilimo milioni 682, ujenzi milioni 32,biashara Milioni 32 ,ufugaji milioni 3.5,usafiri milioni 20.4 na elimu milioni 4.5”.

Aidha Masengo amesema Mahanje SACCOS inafanya kazi kwa ushirikiano Mkubwa na Halmashauri ya Wilaya ya Madaba akiwemo Afisa Ushirika wa halmashauri hiyo.

Kwa Upande wake Afisa Ushirika wa Halmashauri hiyo Sadam Fupi amesema kazi  kubwa wanayofanya ni kuhakikisha wanalea SACCOS na kusimamia  sheria za SACCOS  na kufanya ukaguzi wa mara kwa mara za kuangalia shughuli za chama.

“Chama cha Mahanje SACCOS kinatoa huduma kwa jamii na ni chama cha mda mrefu mambo yanaenda vizuri wananchama wanaongezeka na mikopo inalipika”.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Agosti 5,2024.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa