• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MAPOKEZI ya Yanga Mkoani Ruvuma,RC Ibuge anena

Posted on: October 17th, 2021

WANANCHI mkoani Ruvuma Oktoba 19 mwaka huu wanatarajia kupata burudani ya aina yake ya soka baada ya timu ya Yanga kutumia uwanja wa Michezo wa Majimaji kukabiliana na Timu ya KMC kwenye michuano ya ligi kuu ya Tanzania bara.
Akizungumzia mchezo huo Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge ametoa rai kwa wananchi mkoani Ruvuma na mikoa ya jirani kufika kutazama mchezo huo wa ligi kuu ambapo amesisitiza hali ya ulinzi na usalama mkoani Ruvuma ni nzuri.

Ametoa rai kwa watoa huduma wote kuendelea kutoa huduma bora kwa wageni wote ambao wameanza kuingia kwa ajili ya kutazama mechi ya Yanga na KMC.

Hata hivyo Mkuu wa Mkoa amewatahadharisha wananchi wanapokuwa kwenye misongamano ya watu kama uwanjani kuchukua tahadhari dhidi ya UVIKO 19 kwa kuvaa barakoa,kukaa umbali za kuanzia meta moja na kutumia vipukusa mikono au maji tiririka kwa sabuni

Katika hatua nyingine Mkuu wa Mkoa amewaalika wageni wote ambao watakuwa mkoani Ruvuma katika kipindi hiki cha kutazama soka pia kutembelea vivutio mbalimbali vya utalii vilivyopo mkoani Ruvuma vikiwemo ziwa Nyasa,Makumbusho ya Taifa ya Majimaji,Chanzo cha Mto Ruvuma ,Hifadhi ya Taifa ya Nyerere na maeneo mengine ya historia

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa