• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MAKUNDI mbalimbali yapewa Elimu ya Lishe Madaba

Posted on: February 5th, 2024

HALMASHAURI ya Wilaya ya Madaba wamefanya kikao cha tathimini ya Mkataba wa Lishe cha robo ya pili kwa mwaka wa fedha 2023/2024.

Akitoa taarifa ya mafanikio ya utekelezaji wa mpango wa Lishe kwa kipindi cha robo ya pili Afisa Lishe Jovenary Ndelagi amesema wamefanikiwa kufanya tathimini  na kutoa Elimu ya lishe na mtindo bora wa maisha kwa vijana rika balehe 365 katika shule 3 za Msingi na shule 2 za Sekondari.

Amesema wamefanikiwa kutoa Elimu ya lishe kwa wazee 137 katika maadhimisho ya wiki ya wazee Duniani Oktoba  1,Kata ya Lituta,pamoja na usambazaji wa matone ya vitamini A katika vituo 21 vya  kutolea huduma ya afya kwa watoto wenye umri wa miezi 6 hadi 59.

Ndelagi amesema wamefanikiwa kutoa Elimu ya lishe kwa vikundi vya wanawake vitano juu ya ulaji na mtindo bora wa maisha katika vijiji 3 Madaba,Lituta na Kipingo.

“Tumefanikiwa  kwa kipindi hicho kutoa elimu kwa wanaume 354 juu ya ushiriki wa wanaume katika matunzo ya wanawake wajawazito,wanaonyonyesha na watoto chini ya miaka mitano katika kijiji cha Ngadinda,Ifinga na Mbangamawe”

Hata hivyo amesema mikakati waliyojiwekea ili waweze kuboresha na kuifikia jamii kwa uwigo mpana zaidi ikiwa Halmashauri imetenga fedha kupitia mapato ya ndani kwa mwaka wa fedha 2024/2025 ili kufanya mafunzo rejea ya kuwajengea uwezo wahudumu wa afya ngazi ya jamii.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Februari 5,2024.

                  

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa