• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MAKAMU Mwenyekiti Madaba atoa rai kwa Wanaume kuacha kutelekeza wajawazito

Posted on: June 17th, 2023

Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba Olaph Pili amewataka wazazi kuwajibika vizuri katika kuhakikisha anapatikana mtoto kuanzia unapotafuta Ujauzito kwa makubaliano ya Baba na Mama.

Hayo amesema katika siku ya maadhimisho ya Mtoto wa Afrika yaliyofanyika Kijiji cha Matetereka Kata ya Matetereka Halmashauri ya Madaba.

Amesema mwanzo mzuri hauanzii  Mtoto anapoanza darasa la kwanza bali kuanzia ujauzito  unapotafutwa na kulea kwa upendo.

“Mama anapopata Ujauzito asitelekezwe, asipotuzwa vizuri hawezi kupatikana mtoto aliye bora “

Pili amesema Mama akitunzwa akiwa mjamzito na akapata mahitaji yake ya msingi kula chakula bora,kwenda Kliniki kwa wakati,upendo wa baba  na upendo wa jamii mtoto anazaliwa katika ubora.

“Tukumbuke mama akiwa mjamzito na akasemwa mtoto aliyetumboni anasikia kuwa mama yangu anasemwa,au akipigwa mtoto anasikia kuwa mama yangu anapigwa mtoto akizaliwa anakuwa ameathirika katika ubongo wake na kuwa mtoto wa ajabu katika familia na jamii”.

Hata hivyo Makamu Mwenyekiti amesema ili watoto bora wapatikane lazima wajawazito waheshimiwe na wapewe huduma zote za msingi.

Amesema watoto   wanapozaliwa lazima wapelekwe kliniki na kupatiwa chakula bora ndipo watajengeka katika ubongo kwa kukua vizuri  kuanzia miezi ya awali  anavyoendelea kukua anakuwa katika hali njema.

Pili amesema watoto wanapoanza masomo yao kuanzia awali wazazi na walimu wahakikishe wanapata chakula wanapokuwa Shuleni itapelekea mwendelezo wa kufanya vizuri katika masomo yao.

Imeandalia na Aneth Ndonde

Kutoka kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Juni 16,2023

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa