• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MAHAKAMA zenye hadhi kujengwa kila Halmashauri

Posted on: October 8th, 2021

WIZARA ya Katiba na Sheria inampango wa kujenga majengo ya Mahakama yanayoendana na hadhi iliyopo sasa na yale yaliyochakaa kufanyiwa ukarabati.

Hayo yamesemwa na Naibu  Waziri wa Katiba na Sheria Joseph Pinda alipotembelea Mahakama ya Halmashauri ya Madaba.

“Mahakama zetu zina sura ya karne ya 21 tunakwenda kuleta Mahakama yenye hadhi nzuri lakini eneo la ujenzi liwe lenye hati na kiwanja kilicho pimwa”

Pinda ameelezea umuhimu wa huduma ya Mahakama  kwa jamii ikiwemo kutokana na ongezeko la watu kuwa wengi na migogoro katika jamii kuongezeka siku hadi siku.

Hata hivyo Pinda amesema Mahakama nyingi zilijengwa Watanzania wakiwa milioni 9,kwa sasa tunakaridiliwa kuwa na Watanzania milioni 60 ambao kwa kipindi  Mahakama ni Muhimu sana kwa jamii.

Pinda ametoa wito kwa Polisi kutokaa na kesi kwa mda mrefu  mara baada ya upelelezi zipelekwe Mahakamani ili zipatiwe ufumbuzi  na hukumu kwa watuhumiwa.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Ofisi ya Habari Madaba

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa