• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MADABA yavuka lengo kwa kutenga zaidi ya shilingi 4000 za utekelezaji wa mpango wa Lishe

Posted on: August 29th, 2024

HALMASHAURI ya Wilaya ya Madaba imevuka lengo la kutenga kiasi cha shilingi elfu 1,000 hadi 4,684.54 za utekelezaji za mpango wa afua za lishe kwa kila mtoto chini ya miaka mitano.

Akitoa taarifa hiyo mratibu wa Lishe Halmashauri ya Wilaya ya Madaba katika  kikao cha tathimini ya utekelezaji wa mkataba wa Lishe kwa robo ya nne mwaka wa fedha 2023/2024.

“Asilimia za fedha zilizotumika za ndani kutekeleza afua za lishe katika halmashauri ni shilingi 9,205,126.6 sawa na asilimia 104.15”.

Hata hivyo waratibu wa lishe wamefanikiwa kutoa elimu kwa wazazi wenye watoto wenye umri wa mwezi 0 hadi miezi 23  lengo lilikuwa 786 na wamefanikiwa kutoa elimu kwa wazazi 786 sawa na asilimia 100.

Aidha amesema wamefanikiwa kutoa elimu ya ulaji unaofaa katika kijiji cha Ndelenyuma  na Lilondo kwa wanufaika wa TASAF  wakiwa wanawake 193 na wanaume 53.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Agosti 28,2024              

 

 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa