• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MADABA wavuka lengo utoaji wa Chanjo ya Surua na Rubbela

Posted on: February 17th, 2024

WANANCHI wa Halmashauri ya Wilaya ya  Madaba wamefikiwa na Chanjo ya Surua na Rubbela 7215 ambapo lengo lilikuwa kuwafikia watu 6950.

Hayo amesema mratibu wa chanjo wa Halmashauri ya Madaba Claudius Makori kuwa  ugonjwa wa Surua kwa watoto unaathali mbalimbali ikiwemo masikio kuto usaa na kusababisha kuto sikia,vidonda vya macho na kusababisha upofu, Nimonia,utapia mlo,kuvimba ubongo na kifo.

Makori amesema dalili za ugonjwa wa Surua kuwa na homa mafua na kikohozi,macho kuwa mekundu na kutoa maji pamoja na vipele vidogo hutokea kuanza katika paja la uso, nyuma ya masikio.

Hata hivyo amesema ugonjwa wa Rubbela husababishwa na Virusi vya Rubbela na kuenezwa kwa njia ya hewa,huwapata watoto wadogo hata kwa mama mjamzito.

“Ugonjwa huo ukimpata mama mjamzito unaleta athali kama  vile mtoto wa jicho,Matatizo ya moyo,Kutosikia vizuri,mtindio wa ubongo na matatizo ya ukuaji wa mwili”.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Februari 17,2024.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa