• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MADABA waadhimisha Miaka 62 ya Uhuru kwa kupanda Miti 500

Posted on: December 9th, 2023

HALMASHAURI ya Wilaya ya Madaba wameadhimisha Miaka 62  ya Uhuru wa Tanganyika kwa kupanda Miti  500, Kufanya usafi na kuchangia damu salama katika Hospitali ya Wilaya.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo  Sajidu Idrisa Mohamed akizungumza mara baada ya  zoezi hilo amesema miti iliyopandwa ni ya kuzuia ukame ,Miti ya matunda pamoja na  vivuli pia amewapongeza wananchi pamoja na Watumishi kwa kushiriki zoezi hilo.

“Wananchi wa Madaba mmekuwa wazalendo mmejitokeza kupanda miti katika eneo hili  mmefanya kazi nzuri sana leo ni kumbukumbu kubwa kwenu”

 Hata hivyo Mkurugenzi amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuleta fedha kwaajili ya ujenzi wa Hospitali ya Wilaya.

“Tuendelee kumwombea Rais Samia katika kuadhimisha siku hii ambapo miaka 62 tangu tumepata Uhuru na mmejionea kazi nzuri inayofanyika katika Halmashauri yetu”.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Teofanes Mlelwa amewashukuru Wananchi waliojitokeza katika zoezi la upandaji wa Miti katika kuadhimisha Miaka 62 ya Uhuru wa Tanganyika.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Disemba 9,2023.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa