• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MADABA na Hati safi mfululizo

Posted on: July 13th, 2024

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Kanal Ahmed Abbas Ahmed ameipongeza Halmashauri ya Madaba kwa kupata hati safi kwa miaka sita mfululizo tangu ilipoanzishwa.

Kanal ametoa pongezi hizo katika hotuba iliyosomwa na Katibu Tawala wa Mkoa wa Ruvuma Rehema Madenge katika kikao maalum cha Baraza la Madiwani  cha kujadili taarifa ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) juu ya Mamlaka ya Serikali za mitaa kwa mwaka wa fedha 2022/2023.

Hata hivyo Katika baraza hilo ametoa maelekezo ili halmashauri iendelee kupata hati safi kwa miaka mingine ijayo ihakikishe hoja zote zinafungwa,kuzuia kurudia hoja za aina ileile kila mwaka ,wakuu wa idara kushiriki ipasavyo kuandaa majibu ya hoja.

“Halmashauri ichukue hatua za kinidhamu kwa watumishi wanaozalisha hoja kwa uzezembe mkifinya watu watajua haina haja ya kuzalisha hoja zisizo na sababu”.

Aidha amesema kuhakikisha wananzuia matumizi ya fedha mbichi na kuzingatia  kanuni,taratibu na sheria za fedha ili kuepuka kuwa na hoja ambazo zinazuilika.

“Hakikisheni mnawafuatilia wadaiwa sugu wote vikiwemo vikundi vya wanawake,vijana na wenyeulemavu,na kusimamia kwa ukamilifu CHF iliyoboreshwa ili kuhakikisha wananchi wengi wanajiunga na kupatiwa huduma za afya”.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde 

Kutoka Kitengo cha Mawasailiano Serikalini Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Julai,12,2024.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa