• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

MAAFISA wa TFS wanavyotoa elimu bure ya upandaji Miti kwa Wananchi

Posted on: September 28th, 2023

AFISA wa Shamba la Miti Wino Saimon Tonoro akimwakilisha Meneja wa Shamba hilo Grory Fotnatus katika Sherehe za Uzinduzi wa Jukwaa la Wanawake Halamshauri ya Madaba  ametoa elimu ya upandaji miti na faida zake.

Tonoro amesema TFS Wino wanasimamia upandaji Miti na shamaba hilo linajumla ya Hekta 39 na wameligawa katika safu tatu  ikiwa safu ya Wino zipo hekta takribani 2,000,safu ya Ifinga hekta 20,000 na Mkongotema.

Amesema shughuli kubwa ambayo TFS wanaifanya ni upandaji miti na utunzaji wa Mazingira pamoja na ufugaji wa nyuki.

Tonoro amesema Serikali imewekeza kwa nguvu kubwa zoezi la upandaji miti na unafaida nyingi ikiwemo utunzaji wa Mazingira,utunzaji wa vyanzo vya Maji,upatikanaji wa nishati ya umeme.

Amesema Kubwa zaidi ambayo Serikali inaliangalia kwa ukubwa ni upatikanaji wa kipato upandaji Miti unafaida kubwa chanzo cha Mapato Serikalini na Watu binafsi.

“Wengi wetu ni mashaidi naamini mlishawahi kufika Mji wa Mafinga shamba lile tulianza kama ilivyo wino sasaivi watu  wameanza kuvuna na fursa zinafunguka watu watapata ajira”.

Hata hivyo amesema kiuhalisia watu walikuwa wakipanda miti hivyo ukipata maelekezo sahihi baada ya miaka michache utapata faida na kabla hujapanda lazima ujue unapanda kwa lengo gani.

Amesema ukitaka kupanda Miti lazima uandae eneo vizuri kwa kufyeka pamoja na kuzingatia taratibu za uchomaji moto ,na kusubili msimu wa mvua kuanza.

“Hekta Moja inabidi upande miti 1111 kupanda miti mingi ndani ya eneo moja siyo kupata faida miti haita nenepa kwenye hekari 544 miti hadi mti mita 3”.

Amesema ukisha panda lazima ihudumiwe  inadidi ipaliliwe na kuzungushia barabara ya moto ili moto usiingie ndani ya shamba mita 10  pamoja na kufyekea.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde 

Kutoka kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Septemba 28,2023.

 

 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa