• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

KIONGOZI wa Mwenge wa Uhuru Kitaifa aridhishwa na mradi wa vyumba viwili vya Madarasa Sekondari Madaba

Posted on: April 19th, 2023

KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa 2023 Abdalla Shaib Kaim amewapongeza viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba kwa kusimamia miradi ya Maendeleo kwa weledi.

Kaimu mara baada ya kufungua madarasa mawili yaliyojengwa kwa shilingi milioni 40 fedha kutoa Serikali kuu amesema ameridhishwa na miradi hiyo.

Kiongozi huyo ameendelea kuwapongeza viongozi hao kwa kuunga mkono kauli mbiu ya utunzaji wa mazingira iliyopo katika swala nzima la uhifadhi na utunzaji wa mazingira ikiwemo kupanda miti,utunzaji wa bustani na kupanda miche ya miti katika maeneo ya Shule hiyo.

“Tumekagua nyaraka tumejiridhisha zinakidhi viwango vyote kwahiyo Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru nakili fedha imetumika vizuri na tumeridhika na mradi”.

Mkuu wa Shule ya Sekondari Madaba Innocent Kalesa amesema Octoba 01,2022 walipokea fedha  kiasi cha shilingi milioni 40 kwaajili ya ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa.

Kalesa amesema ujenzi ulianza rasmi Octoba 18,2022 na kukamilika Desemba 4,2022 kwa kutumia force account ambapo shule ilinunua vifaa na kuajili fundi wa ujenzi na kusimamiwa na kamati tatu.

Mkuu wa Shule amezieleza faida za mradi huo ikiwa ni pamoja na kupatiwa vyumba bora vya madarasa na kuwezesha uandikishaji wa wanafunzi wa kidato cha kwanza 117 ,2023.

Kupatiwa kwa samani bora kwa wanafunzi wakati wa kujifunza na kupunguza msongamano wa wanafunzi madarasani.

Kutoka kitengo cha Mawasiliano Serikalini Halmashauri ya Madaba

Aprili 19,2023.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa