• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

Katibu Tawala Masaidizi Mbura Ruvuma ampongeza Diwani Mpya Mtyangimbole Madaba kwa Kula Kiapo

Posted on: November 11th, 2023

HALMSHAURI ya Wilaya ya Madaba wamefanya kikao cha Baraza cha robo ya kwanza mwaka 2023/2024 cha kujadili vikao vya kamati tano ikiwemo kamati  ya Maadili,kamati ya kudhibiti UKIMWI,kamati ya huduma za jamii kamati ya uchumi na mazingira na kamati ya fedha.

Katika Baraza hilo ameapishwa Diwani mpya wa kata ya Mtyangimbole Twahib Ngonyani kufuatia uchaguzi mdogo uliofanyika Septemba 19,2023 baada ya aliyekuwa Diwani wa Kata hiyo kufariki.

Amina Tindwa ambaye ni Afisa tawala  akimwakilisha Katibu Tawala Msaidizi wa Mkoa wa Ruvuma Peniel Mbura akitoa salamu katika Baraza hilo amempongeza Diwani wa Kata ya Mtiyangimbole kwa kula kiapo tangu alipochaguliwa na kupata ushindi wa asilimia 97.

“Kiapo hiki kinamaana kubwa sana mimi nakusihi ukazingatie yale uliyoelekezwa lakini unajukumu kubwa la kuwadhihirishia Wananchi wako waliokuchagua kuwa unaweza kushirikiana nao”.

Tindwa amewapongeza Wataalam wa Halmashauri hiyo kwa ushirikiano wanaotoa kwa Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo nakuhakikisha miradi ya Maendeleo inakamilika kwa wakati.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba                Novemba 11,2023.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa