• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

KARIBU katika maonyesho ya Nane nane banda la Madaba ujifunze ufugaji wa Kuku kuchi anayeuzwa laki 6 hadi 7

Posted on: August 5th, 2023

HALMASHAURI ya Wilaya ya madaba inawakaribisha wananchi wote kujifunza ufugaji wa Kuku kuchi (Asili).

Ujifunzaji huo unapatikana katika banda lililopo viwanja vya maonyesho ya Nane nane vya John Mwakangale Jijini Mbeya.

Mfugaji wa Kuku hao kuchi kutoka Jiji cha Ngadinda kata ya Ngumbiro Halmashauri ya Madaba Kuluas Mayombe  amesema kuwa kuku hao wanafaida sana kwasababu Tanzania hawapatikani wengi.

Amesema kifaranga kinauzwa kwa shilingi elfu 70,000/=  Kuku mkubwa anauzwa kwa  kiasi cha shilingi laki 6 hadi laki 7 kwasababau wanakilo  nyingi na wanamanyoya machache kuliko kuku wa kawaida.

Hata hivyo amesema yai moja la kuku huyo linauzwa kwa shilingi elfu 10,000/= na kuku hao ni wakali tofauti na kuku wa kawaida ambao wanatumia kwaajili ya  kuchezesha kamili ya kupigana.

“Tunawakaribisha wananchi wote kuja kujifunza katika banda letu la Halmashauri ya Madaba viwanja vya Nane nane”.

Kutoa kitengo cha Mawasiliano Hahalmashauri ya Madaba

Agosti 5,2023.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa