• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

KAMATI ya fedha Madaba walivyokagua Mradi wa Nyumba ya Mwalimu Sekondari ya Joseph Mhagama

Posted on: November 7th, 2023

SERIKALI ya awamu ya sita imeleta fedha kiasi cha shilingi Milioni 95 kwaajili ya ujenzi wa Nyumba ya Mwalimu katika Shule ya Sekondari Jeseph Mhaga Halmashauri ya Madaba.

Kamati ya Fedha ya Halmashauri hiyo wametembelea na kukagua mradi huo uliofikia asilimia 82.6 ya ukamilishaji wa mradi huo.

Mkuu wa shule hiyo Vermund Kapinga akisoma taarifa amesema Juni 19,2023 walipokea fedha kiasi cha shilingi Milioni 95 kwaajili ya ujenzi wa Nyumba ya Mwalimu kupitia mradi wa SEQUIP.

Kapinga amesema mradi huo umeanza kutekelezwa Septemba 11,2023 kwa  kujenga msingi na kufikia sasa ujenzi umefikia hatua ya kuweka malu malu na kuskimu.

“Hadi kufikia sasa tumetumia kiasi cha shilingi Milioni 82 na kubakiwa na zaidi ya shilingi Milioni 12 ,na kukamilika ifikapo tarehe 20 mwezi wa 11,2023”.

Hata hivyo Mkuu wa Shule hiyo amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutoa fedha za ujenzi wa nyumba ya Mwalimu itakayosaidia kupunguza umbali wa makazi ya walimu na uangalizi wa wananfunzi kwa ukaribu zaidi.

Kutoka kitengo cha Mawasilino Halmashauri ya Madaba

Novemba 7,2023.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa