• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

KAILIMA Sitamfumbia macho mtendaji yeyote anayezalisha hoja

Posted on: November 14th, 2022

NAIBU Katibu Mkuu wa (OR Tamisemi ) Ramadhan Kailima amefanya  kikao kazi na viongozi wa Sekretalieti ya Mkoa na  Mamlaka za Serikali za Mitaa  pamoja na Wakuu wa Idara katika swala la kuzungumzia hali ya ufutaji  wa hoja  za ukaguzi.

Kikao kazi hicho kimefanyika katika ukumbi wa Manispa ya Songea Mkoani Ruvuma na kujumuisha Viongozi wa Halmashauri zote.

Akizungumza Katika kikao kazi hicho ametaja vipaumbele vya ufutaji wa hoja za ukaguzi  na maagizo yaliyotolewa na kamati ya Kudumu ya Bunge la Hesabu za Serikali za Mitaa.

Kailima amesema hoja za Serikali zikifutwa miradi mbalimbali ya Serikali itaendelea vizuri  ikiwemo Vyumba vya Madarasa,Vituo vya Afya na mingine.

“Sitakuwa na Msamaha na Mtendaji yoyote ambaye atakuwa anazalisha hoja kwa kushindwa kutekeleza wajibu wake na wala usitegemee kuhamishwa na kupewa nafasi nyingine hapo ulipo”.

Hata hivyo Kailima amesema watumishi wanaodai madai yao ya likizo walipwe ili wafanye kazi kwa bidii.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Madaba

Novemba 14,2022.

 

 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa