• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

Jengo la Halmashauri ya Madaba lakamilika

Posted on: October 27th, 2020

UJENZI wa Jengo la Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Madaba ambalo limegharimu zaidi ya shilingi bilioni mbili limekamilika kwa asilimia 99.

Akitoa taarifa hiyo ofisini kwake Mhandisi wa Halmashauri hiyo Ludger Nchimbi  amesema  ujenzi wa jengo hilo, ulianza rasmi mwaka 2017  na kwamba mradi umejengwa kwa awamu tatu.

 Amesema katika awamu ya kwanza mkataba  ulikuwa unatekelezwa na Mkandarasi Wakala wa Majengo Tanzania TBA,ambao uligharimu zaidi ya shilingi milioni 493,awamu ya pili ni mkataba wa zaidi ya bilioni mbili na  awamu ya tatu ujenzi umefanyika kwa force akaunti kwa ajili ya umaliziaji  wa mradi huo.

“Tulipokea fedha kutoka serikali kuu Bilioni tatu ambazo zimetumika kutoka mapato ya ndani, fedha iliyotumika mpaka kukamilika Jengo shilingi zaidi ya shilingi bilioni mbili’’,alisema.

Hata hivyo Mhandisi amesema Mkandarasi TBA alisimamishwa kuendelea na kazi ya ujenzi  na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Christina  Mndeme Juni 6 mwaka huu,baada ya Mkandarasi huyo kupata changamoto ya kufungiwa akaunti zake zote na kushindwa kuendelea na kazi,hali iliyosababisha Halmashauri kutumia force akaunti kukamilisha mradi huo.

Amesema mradi wa jengo hilo kwa sasa limekamilika na tayari  limeanza kutumika kuanzia Oktoba 21, 2020.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Afisa Habari Halmashauli ya Madaba

Oktoba 27,2020 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa