• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

HEKTA 39,718 za Miti zapandwa Madaba

Posted on: November 15th, 2023

HIFADHI ya Misitu Wino Halmashauri ya Wilaya ya Madaba Mkoa wa Ruvuma inajumla ya hekta 39,718 zilizoundwa kwa safu tatu Ifinga,Mkongotema na Wino.

Akisoma taarifa hiyo Meneja wa Shamba la Miti Wino Grory Fotunatus katika kikao cha wadau wa misitu kilichofanyika leo Novemba 10,2023 katika ukumbi wa Amani Madaba.

Amesema hekta 13,140 zimehifadhiwa kwaajili ya vyanzo vya maji ,misitu ya asili na mabondeni kwaajili ya wanyama na viumbe hai wengingi.

Fotunatus amesema msitu huo umeanza kuendelezwa mwaka 2010 ukihusisha eneo dogo safu ya Wino na mwaka 2014 walienedeleza safu ya Ifinga na Mkongotema.

Hata hivyo Muhifadhi Mkuu amesema wameendelea kuongeza eneo la upandaji miti kila mwaka hekta 400 hadi 500,ufugaji wa nyuki,misitu na mazingira yote ya asili na vyanzo vya maji ili kuhakikisha uhifadhi unakuwa endelevu kwa kizazi cha sasa na baadae.

“Kwa kuanzisha maliasili na vyanzo vya maji vinatunzwa kama mto lupahila,mnywamasi,mwesa,Lutukila,Mgombezi,Kineneka,kipilili,balali mapacha,chechengu,mito inayofikisha maji yake ziwa nyasa na mto Rufiji”.

Amesema uhifadhi huo unasaidia kuongeza ajira za kudumu na mkataba kila mwaka ikiwa eneo la upandaji linaongezeka na  mazao ya biashara kama nguzo za umeme, ufugaji wa nyuki ili kuongeza mapato ya Serikali.

“Tunaboresha mazingira na madhari ukipita ndani ya hifadhi utapata hali nzuri ya hewa na kupunguza hewa okaa na kuvutia mazingira ikiwa kuanzia Mwaka 2010 hadi 2023 imepandwa hetka 6463 ya miti”.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba 

Novemba 15,2023.       

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa