• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

HALMASHAURI ya Madaba yaweka Mikakati ya kuinua Taaluma 2023

Posted on: January 18th, 2023

Halmashauri ya Wilaya ya Madaba imeweka mikakati ya kuinua Taaluma 2023 ili kuwezesha ufaulu wa Wanafunzi.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Idara ya Elimu Msingi Saada Chwaya ofisini kwake kuwa mikakati ya mwaka 2023 iliyopangwa kufanya kazi ili iweze kuinua kiwango cha Taaluma pamoja na kufanya mitihani ya mwezi,mihula na ujirani mwema.

Amesema kufanya ufuatiliaji wa Shule zote mara kwa mara kwa kuongeza walimu ili kutatua changamoto mbalimbali zinazojitokeza,kufanya vikao na walimu,Walimu wa kuu pamoja na Maafisa Elimu Kata.

“ Kuwahimiza walimu kuwa na moyo wa kujituma kufundisha inapobidi muda wa ziada ili kumaliza silabasi za masomo na kuwapa mazoezi mbalimbali”.

Hata hivyo amesema mikakati hiyo ni pamoja na kufanya ufundishaji wa makundi ili kuongeza umahiri wa Walimu,pamoja na kushirikiana na wadau wa Elimu Shule na Taasisi mbalimbali kutoa Semina za kimasomo itasaidia kuongeza uelewa wa Walimu.

Amesema mpango huo ni pamoja na kuthibiti utoro wa rejareja kwa Walimu na Wanafunzi,Kushirikiana na wathibiti ubora wa Shule ili kuweza kupata maarifa ya utunzi bora wa maswali kwa kufuata fomati mpya ya utunzi wa mitihani.

“Itasaidia kuboresha mahusiano kati ya Wakuu wa shule,walimu na walimu wa Taalumaili kuleta tija katika ufaulu”.

Pia mkakati wa kutoa elimu ya kutosha kwa uongozi wa Shule,Kamati za Shule na jamii juu ya walaka namba 3 ili kuwezesha wadau wa Elimu kuchangia maendeleo ya shule.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka:Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Madaba.

Januari 18,2023.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa