• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

Halmashauri ya Madaba yatoa zaidi ya milioni 70 kwa vikundi

Posted on: February 25th, 2022

HALMASHAURI ya Madaba imetoa Zaidi ya Milioni 70 kwa vikundi vya wanawake,Vijana na watu wenye ulemavu kupitia asilimia 10.

Akitoa taarifa hiyo kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Joseph Mrimi amesema wametoa fedha kwa vikundi 24 vya wanawake,Vijana na watu wenye ulemavu kiasi cha Zaidi ya shilingi milioni 87 na mkopo huo umewezesha vikundi kufanya shughuli  mbalimbali za kiuchumi na kijamii.

Mrimi amesema katika mwaka wa fedha 2021/2022 Halmashauri kwa robo ya tatu ya mwaka imetoa mikopo yenye thamani ya kiasi cha shilingi milioni 41  kwa vikundi 11 na katika robo hii ya tatu halmashauri imetoa mikopo yenye thamani ya  Zaidi ya shilingi milioni 70.

Amesema vikundi hivyo vinajishughulisha na miradi ya Ujasiriamali  kama usindikaji wa vyakula ,utengenezaji wa batiki,ufugaji wa mende, nyuki na mengine mengi na kupitia mkopo huo vikundi vimenunua mashine ya kukoboa mahindi.

Mkuu wa Wilaya ya Songea Pololeti Mgema amesema vikundi hivyo vimepewa mkopo ili waweze kujiendesha kiuchumi na kujiendesha kibiashara.

“Serikali imeweka asilimia 10 lazima itengwe na kugawiwa kwa asilimia 4 wanawake,asilimia 4 vijana na asilimia 2 watu wenye ulemavu  kila mwaka na kila bajeti”.amesisitiza

Mgema amesema kwa mwaka unaoendelea bajeti ya mapato ya ndani ni bilioni moja na milioni ishirini na tatu asilimia 10 ya mapato ya ndani na katika kipindi cha miaka mitano tuweze kufikia kwenye bajeti ya milioni 500 ambazo watakopeshwa wajasiriamali.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Ofisi ya Habari ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma

Februari 26,2022

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa