• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

HALMASHAURI ya Madaba yashika nafasi ya pili Kitaifa afua za Lishe

Posted on: November 10th, 2022

HALMASHAURI ya Madaba imekuwa ya pili  Kitaifa kwa afua za Lishe ikiwa ni sekta muhimu katika jamii.

Hayo ameyasema Mkugugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Madaba  Sajidu Idrisa Mohamed katika kikao  kazi cha maandalizi ya mipango na bajeti za afua za Lishe mwaka 2023 /2024.

Mohamed ametoa rai kwa watendaji wa Halmashauri hiyo kuhakikisha wanasimamia suala nzima la Lishe ili Madaba iendelee kufanya vizuri.

“Kiujumla kama hamtasimamia tutawajibishana haiwezekani nisainishane mkataba na Mkuu wa Wilaya halafu mimi niwakumbushie madokezo na isitokee tumekuwa namba mbili kitaifa halafu tunakuwa wamwisho ”.

Amesema lengo kila mmoja atekeleze majukumu yake kufuatia mwaka wa fedha uliopita  2021/2022 umepekelea kufanya vizuri na kuchukua nafasi ya pili Kitaifa.

Hata hivyo Mkurugenzi amesema vikao vinavyofanyika lazima vilete matokeo chanya ikiwemo mtu wa Elimu,Mifugo Maendeleo ya jamamii wahakikishe wanawafikia wananchi na kutoa Elimu.

Afisa Lishe wa Halmashauri ya Madaba John Mapunda mara baada ya kikao hicho amesema afua za lishe ni sekta mtambuka ambayo hujumuisha idara mbalimbali ikiwemo Elimu,Mipango,Mifugo na Kilimo.

Mapunda amesema Halmashauri imechukua nafasi ya pili kitaifa ikifuatiwa na jitihada mbalimbali ikiwemo Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo kuhamasisha ushirikiano na kuboresha katika sekta ya afya.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Halmashauri ya Madaba

Novemba 10,2022.

 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa