• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

HALMASHAURI ya Madaba matokeo ya kidato cha sita washika nafasi ya pili Kimkoa kati ya Halmashauri nane

Posted on: July 19th, 2023

 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba imeibuka ushindi wa nafasi  ya pili Kimkoa Matokeo ya kidato cha Sita  Mwaka 2023  kwa asilimia 100.

Hayo amesema Mkuu wa Idara ya Elimu Sekondari Maternus Ndumbaro  ofisini kwake kuwa  Madaba imekuwa nafasi ya pili Kikmkoa.

“Halmashauri ya Madaba tumekuwa nafasi ya pili Kimkoa katika Halmashauri nane za Mkoa wa Ruvuma na kupata  asilimia 100 ya ufaulu“.

Hata hivyo Afisa Elimu amesema Halmashauri ya Madaba inashule mbili zenye kidato cha kwanza hadi kitado cha  Sita ikiwa Wilma wanafunzi 33 walifanya Mtihani mwaka 2023 na wanafunzi 15 wamepata daraja la kwanza na wanafunzi 17 wamepata daraja la pili mwanafunzi 1 amepata daraja la tatu.

Ndumbaro amesema Katika Shule ya Sekondari  Madaba day wanafunzi 139 walifanya mtihani  wa kidato cha sita wanafunzi  21 wamepata daraja la kwanza,wanafunzi  96 wamepata daraja la pili ,wanafunzi 21 wamepata daraja la tatu na mwanafunzi  1 amepata daraja la nne.

Kutoka kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba 

Julai 18,2023.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa