• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

GHASIA akagua mradi wa BOOST Madaba

Posted on: July 27th, 2023

Mjumbe wa  wa Umoja wa Wanawake Tanzania  (UWT)   Hawa Ghasia amefanya ziara yake  Katika Jimbo la Madaba na kutembelea  ujenzi wa Madarasa unaojengwa kupitia  Mradi wa BOOST katika Shule ya Msingi Ngembambili.

Mradi huo wa Madarasa mawili na matundu 3 ya vyoo unaojengwa kwa shilingi Milioni 53,100,000/= na kufikia hatua ya ukamilishaji.

Ghasia akimwakilisha Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mary Chatanda amesema mradi umefikia hatua nzuri ikiwa na makosa madomadogo ya kurekebisha ili mradi uweze kukamilika na wanafunzi waweze kutumia madarasa hayo.

Hata hivyo amewasisitiza wazazi kuhakikisha wanafunzi wanahudhuria masomo  ikiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anatoa fedha kwaajili ya ujenzi wa Miundombinu ya Shule na kuhakikisha wanapata mazingira mazuri ya kujifunzia.

“Hayo Madarasa tuliyojengewa tumepewa na Rais wa awamu ya Sita Samia Suluhu Hassan anahakikisha nyie wanafunzi wa Ngembambili mnapata Madarasa  kwahiyo mjitaidi kusoma ili baadae mjekuwa madaktari,wabunge na viongozi wengine”amesema Ghasia.

Kutoka kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Julai 26,2023.      

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa