• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

DED Madaba amshuru Rais Samia kwa kumwamini

Posted on: June 8th, 2023

MKURUGENZI Mtendaji Halmashauri  Halmashauri ya ya Wilaya ya Madaba amemshukuru Rais Samia kwa kumwamini na kuendelea  kumpa nafasi ya Ukurugenzi katika  Halmashauri hiyo.

Hayo amesema alipofungua Mafunzo ya Mfumo wa  FFARS kwa Watendaji Kata,Vijiji na walimu wa Sekondari na Msingi yaliyofanyika katika ukumbi wa Halmashauri.

Hata hivyo Mkurugenzi amewashukuru na kuwapongeza watumishi wa Halmashauri hiyo kwa ushirikiano katika kazi kuanzia alipoteuliwa na Rais takribani mwaka mmoja na miezi 10.

“Leo tarehe 7 tunaanza majukumu mengine nawategemeeni sana  tuendelee kufanya kazi kwa pamoja na ninyi watumishi wenzangu”.

Hata hivyo Mkurugenzi  amempongeza   Rais Samia kwa kuendelea kumwamini  na kumpa  nafasi kwa mara nyingine ya  kuongoza Halmashauri  ya Madaba.

Mohamed amesema kuanzia sasa watumishi na Mkurugenzi watakuwa na mbinu mpya ya kuhakikisha kazi na majukumu ya Halamshauri yanaenda kwa pamoja na kwa mafanikio makubwa.

Mkurugenzi amewaagiza watendaji na walimu kusimamia miradi ya Boost ili kuhakikisha inakamilika kwa wakati na kwa ubora kwasababu ni miradi ya Lipa kwa matokeo.

“Mkitoka hapa mkaongeze mafundi na mfanye kazi usiku na mchana ili tusivuke na miradi hiyo kwa mwaka wa fedha mpya 2023/2024”.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Halamshauri ya Madaba

Juni 7,2023.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa