• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

DED Madaba amsapoti Rais Samia kwa kutoa zawadi za sikuku katika kituo cha watoto yatima Mahanje

Posted on: January 2nd, 2025

Mkurugenzi mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Madaba Sajidu Idrisa Mohamed amemuunga Mkono Rais Samia kwa kutoa zawadi za sikukuu ya Chrismas na Mwaka mpya 2025 katika kituo cha watoto yatima Malaika childrens home Mahanje.

Afisa ustawi wa Jamii Shani Kambuga amemwakilisha Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo katika kuwasilisha zawadi hizo zilizoghalimu shilingi laki nane na nusu (850,000/=)  zikiwemo Soda,Mchele kilo 100, Mbuzi mmoja,sabuni na mafuta ya kupaka.

“Zawadi hizi zimetolewa na ofisi ya Mkurugenzi kwa kumsapoti Mhe.Rais Samia kwaajili ya watoto wenye mahitaji maalum ili waweze kufurahia  sikukuu ya Chrismas na Mwaka Mpya katika kituo hiki cha Mahanje ”.

Msimamizi wa kituo hicho cha Malaika childrens home Mahanje Sister Melina Haule amemshukuru  Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba kwa kumsapoti Rais Samia kwa kutoa zawadi ya sikukuu kwa watoto yatima Mahanje.

“Namshukuru Mkurugenzi kwa kutoa msaada katika kituo chetu tumefurahi na tumepokea kwa furaha na utatusogeza mbele na tuna watoto 26 “.

Moja kati ya watoto wanaolelewa katika kituo hicho Ana Mgina amemshukuru mkurugenzi kwa kutoa sapoti yake kwa kutoa zawadi za sikukuu ambazo zitawasaidi kula vizuri mwaka mpya.

“Tunashukuru sana kwa zawadi zenu mlizotuletea tunaomba Mkurugenzi utufikishie salamu kwa Mama Samia mwambie asante watoto tumefurahi Mungu awabariki”.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Januari 1,2025.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa