• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

DC Songea Elimu ya Lishe kwa Wananchi iwe endelevu

Posted on: July 15th, 2023

MKUU wa Wilaya ya Songea Wilman Ndile ametoa rai kwa  wataalam Halmashauri ya Madaba kutoe Elimu ya Lishe kila inapokuwa mikutano ya hadhara katika vijiji.

Hayo amesema alipofungua kikao cha utekelezaji wa afua  za Lishe cha robo ya nne 2022/2023 kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri.

Ndile amesema elimu hiyo ya Lishe pia itolewe kwa Walimu na Wazazi kuhakikisha wanafunzi wanakunywa Maziwa kwa wingi  na kuhakikisha wanapata chakula bora  wakiwa Shuleni na Nyumbani.

“Wataalam Hakikisheni Mkakati wa mikutano ya vijiji inapofanyika hakikisheni mnakuwepo kuhamasisha na kutoa elimu ya Lishe kwa wananchi”

Hata hivyo Mkuu wa Wilaya amemwagiza afisa Elimu Msingi na Sekondari kufufua  Elimu ya kilimo  cha kujitegemea mashuleni ili kuhakikisha chakula na matunda vinapatikana kwa wanafunzi.

Kutoka kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Julai 15,2023

 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa