• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Utawala
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika

DC Songea awataka wananchi kutumia mfumo wa stakabadhi ghalani

Posted on: June 5th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Songea Wilman Ndile amewataka wananchi wa Wilaya hiyo kuacha kuuza ufuta kwa bei ya hasara kwa watu binafsi.

Hayo amezungumza alipoongea na wananchi wa Kata ya Matumbi kijiji cha Ifinga mara baada ya kusikiliza kero za wananchi kulalamikia vyama vya ushirika kucheleweshewa fedha zao.

“Ufuta umeuzwa kwa shilingi 3800 songea vijijini siku mbili zilizopiata  kupitia mfumo wa stakabadhi ghalani walanguzi acheni kuwalaghai wananchi”

Mkuu wa idara ya kilimo Jeseph Mrimi amewapongeza wanchi wa Ifinga ikiwa katika Halamshauri ya Madaba Ifinga wanaongoza kwa uzalishaji wa zao la  Ufuta.

Mrimi amesema kwa kipindi chote walikuwa wanahudumiwa na chama cha  AMCOS Wino hivyo wameweza kufungua chama chao ambaco watajitegemea na watajisimamia wenyewe.

“kwa kipindi chote ambacho walikuwa wakiuza kupitia Wino AMCOS wamejifunza mengi na changamoto wameziona , mwaka huu mtaanza kujitegemea kupitia chama chenu.

Mrimi amemtaka  Afisa maendeleo  wa Kata hiyo kufika ofisini kwake ili kuhakikisha wanaweka utaratibu  mzuri utakaosaidia kuanza kwa chama hicho cha ushirika”.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Juni 4,2023

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • RAIS Samia atoa Milioni 90 ukarabati wa Madarasa 6 Ifinga

    September 24, 2023
  • MWENYEKITI Madaba aagiza kuezeka Kituo cha Afya Ifinga Mara Moja

    September 24, 2023
  • WANANCHI Lilondo wajitolea kujenga Nyumba 6 za walimu

    September 23, 2023
  • WANANCHI Ifinga walivyojiwekea benki tofari 400,000 kwaajili ya Ujenzi wa Miradi ya Serikali

    September 23, 2023
  • Angalia zote

Video

MADIWANI MADABA WAADHIMIA KUSIMAMIA MIRADI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 10

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: info@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa