• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

DC Ndile atao rai kwa waratibu kutilia mkazo wa lishe kwa wanawake wajawazito

Posted on: August 29th, 2024

MKUU wa Wilaya ya Songea Kapenjama Ndile ametoa rai kwa waratibu wa Lishe kuendelea kutilia mkazo juu ya utoaji wa  elimu ya lishe kwa wanawake wajawazito na watoto chini ya miaka mitano.

Hayo amesema katika kikao cha tathimini ya utekeleza wa mkataba wa lishe kwa robo ya nne ya mwaka wa fedha 2023/2024 katika halmashauri ya Wilaya ya Madaba.

“Tukiwawezesha akina mama wajawazito wakiwa na afya nzuri watoto wanaozaliwa watakuwa na afya njema wakizaliwa chini ya uzito hawewezi kuwa na afya njema tunaweza kuwa na Taifa ambalo hakili zao siyo nzito  ya kufikili”.

Hata hivyo kapenjama amesema nchi ya Tanzania inahangaika na mambo matatu kuondoa ujinga,umaskini na magonjwa ikiwa ni hali mbaya ambayo inaathiri afya ya mwanadamu.

Serikali inahangaika kujenga Hospitali nyingi sana lengo kupunguza vifo ,mtu akiugua mara kwa mara anaweza kuishi kwa mda mfupi,kama watu wamezaliwa na afya ya mgogoro hawawezi kuwa na afya  nzuri”

“Natoa rai kwa wanaume kuhakikisha wanawake wajawazito wanakula vizuri ili waweze kuleta watoto wenye hakili miaka ya zamani wajawazito walikuwa hawatakiwi kula mayai ktokana hakukuwa na hospitali za kutosha lakini kwa sasa kuna hospitali ambapo mjamzito anaweza kusaidiwa na kujifungua kwa oparetioni”.

Ndile amesema wananchi wa halmashauri ya Wilaya ya Madaba waendelee kuchangia chakula shuleni ili watoto waweze kusoma vizuri na kufauru katika masomo yao.

“Tumefaulu pakubwa katika halamshauri ya Wilaya ya Madaba watoto wanakula shuleni Afisa elimu endelea kusimamia hili”.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Agosti 28,2024.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa