• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

DC Ndile aongoza zaoezi la upandaji Miti ya Matunda Sekondari ya Lilondo Madaba

Posted on: February 16th, 2024

MKUU wa Wilaya ya Songea Kapenjama Ndile ameogoza zoezi la upandaji wa Miti 50 ya Matunda aina ya Parachichi katika Shule ya Sekondari ya Lilondo iliyotolewa na  Wakala wa Shamaba la Miti Wino Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.

Akizungumza mara baada ya upandaji wa miti hiyo Ndile amewapongeza walimu na wanafunzi kwaajili ya zoezi hilo pamoja na kuweka mazingira katika hali ya usafi.

Mkuu wa Wilaya  amesema upandaji wa miti ya matunda mashuleni ni kampeni ya kutokomeza suala nzima la udumavu kwa watoto.

Hata hivyo amewapongea Wakala wa Miti Wino( TFS) Wino kwa kufanya kazi nzuri kwa wananchi bila kujali kuangalia mashamba ya Serikali pekee.

“TFS Wino wanafanya kazi nzuri na mara nyingi nimewaeleza wote wenye mashamba makubwa katika Wilaya ya Songea kama Ndolela,Aviv  uwepo wenu lazima uwe na matokeo chanya kwa wananchi TFS ambayo ni serikali wangeweza wasililete chochote lakini kila siku wanajitaidi kutoa miti katika maeneo mengi”

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Sajidu Idrisa Mohamed ameshiriki zoezi hilo ameto wito kwa Walimu na wanafunzi kuilinda na kuitunza miti hiyo.

“Tumefanya hivyo kwa lengo la kuhakikisha wanafunzi wanapata mlo kamili shuleni Mtendaji wa Kata,Kijiji na Mwalimu Mkuu nawaomba msimamie miti na kila mwanafunzi akabidhiwe mti wake na autunze”.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Februari 16,2024.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    June 19, 2025
  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa