• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

DC Ndile aongea na wananchi wa Kata ya Matumbi

Posted on: June 3rd, 2023

MKUU wa Wilaya ya Songea Wilman Ndile ameongea na kujitambulisha kwa wananchi wa kijiji cha Ifinga kata ya Matumbi tangu alipoteuliwa na Rais Samia kuwa Mkuu wa Wilaya.

Kata ya Matumbi ipo takribani kilomita 68 kutoka makao makuu ya Halmashauri na katika ziara hiyo Mkuu wa Wilaya ametembelea Shule ya Sekondari Ifinga ambayo inawanafunzi 77 kuanzia kidato cha kwanza hadi kidato cha nne na walimu 8.

Hivyo Mkuu wa Wilaya ametoa rai kwa wananchi wa Kata hiyo kujenga Hosteli ili kuhakikisha wanafunzi kutoka sehemu mbalimbali wasome katika Shule hiyo.

“Mimi kama Mkuu wa Wilaya Shule hiyo haiwezi kuwa na tija Mwl.  Nyerere toka mwanzo alifikilia kujenga utaifa na uzalendo katika nchi hii alitengeneza mikakati mbalimbali Mwanafunzi aliyezalwa Mbinga ataenda kusoma Monduli lengo ilikuwa kuchanganya watoto wa tamaduni mbalimbali”.

Hivyo Mkuu wa Wilaya amesema siyo vema mtoto anaanza chekeckea mpaka anafika kidato cha nne anasoma katika kijiji cha ifinga bila kuonana na wanafunzi wengine kutoka maeneo mengingi.

“Naona siyo vema lazima tubadilike tuipanue shule ili kuleta wanafunzi kutoka maeneo mengine hata kwa kuanza mkondo mmoja ili wale 77 wa hapa wachanganyike na wengine  kutoka sehemu mbalimbali ndani ya Wilaya ya Songea anagalau wafike 500 au 400”.

Hata hivyo amemwagiza katibu Tawala wa Wilaya ya Songea kutoa maelekezo kwa Halamshauri  ili jambo hilo liwekwe kwenye mipango yao na  kuhakikisha mpango huo unakamilika ifikapo Januari 2024.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde                                                                                               

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halamshauri ya Madaba

Juni 3,2023.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa