• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

DC Ndile alivyozindua ujenzi wa Soko Madaba

Posted on: September 13th, 2023

MKUU wa Wilaya ya Songea Wilman Ndile amezindua ujenzi wa Soko unaojengwa kwa Shilingi Milioni 190 ,Kijiji cha Lituta Kata ya Lituta Halmashauri ya Wilaya ya Madaba kupitia Mradi wa TASAF.

Akizungumza katika hafla fupi ya uzinduzi huo ametoa rai kwa wananchi kushiriki katika hatua zote zinazotakiwa ikiwa kuchimba msingi,kuweka kifusi pamoja na kusomba maji.

Hata hivyo ameagiza mradi huo mara utakapokamilika wafanyabiashara ambao wamejenga na kutumia Soko la mda wapewe kipaumbele kupewa vizimba vya kufanyia Biashara zao .

Ndile amesema ujenzi huo wa Soko la Kisasa uwekwe wazi ikiwa matumizi ya fedha katika  utakao jumuisha ujenzi wa  vizimba, Matundu ya vyoo 6 pamoja na guba ikiwa ni Soko la kisasa.

“Mkiona  Soko linakuja la shilingi Milioni 190 katia Kijiji chenu Madaba kuna vijiji 22  hapa ndio mji ,ndiomana Serikali imeona mletewe Soko la Kisasa na miundombinu mingine”.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Septemba 13,2023.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa