• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

BWENI Sekondari Magingo kukamilika Mwaka wa Fedha 2024/2025

Posted on: September 28th, 2023

Mwenyekiti wa Halamshauri ya Madaba Teofanes Mlelwa amemwakilisha Mbunge wa Jimbo la Madaba Joseph Mhagama katika Hafla ya Mahafari ya Kidato cha nne katika Shule ya Sekondari Magingo Kata ya Mkongotema Halmashauri ya Madaba.

Mlelwa amewapongeza wananchi na uongozi wa Kijiji kwa kuanzisha Shule hiyo kupitia nguvu za wananchi na Serikali kuendeleza kuboresha Miundombinu mbalimbali katika Shule hiyo.

Mkuu wa Shule amezitaja changamoto zinazopatikana katika Shule hiyo ikiwemo ukosefu wa Jengo la Utawala,Bweni la wasinana na wavulana,upungufu wa Nyumba za Walimu zikiwemo Nyumba 16 na zilizopo ni 2 pamoja na ukosefu wa panzia za madarasa ambayo wanafunzi wanatumia kulala.

Afisa Elimu Sekondari Taaluma Devis Mwasi akijibu changamoto hizo amesema bweni lililojengwa kupitia nguvu za wananchi na mfuko wa jimbo wataandika andiko maalumu kupitia bajeti ya mwaka wa Fedha 2024/2025.

“Niseme tu kwenye mpango wa bajeti 2024/2025 pamoja na bajeti ya kawaida tutaomba ombi maalumu kwaajili ya ukamilishaji wa hosteli ya Magingo Sekondari itakamilika na wanafunzi wetu wataishi mahali pazuri zinahitajika Milioni 80”.

Hata hivyo Mwenyekiti ametatua changamoto ya mapazia kwa kuchangia kupitia keki na kupatikana zaidi ya shilingi laki 5.

Kutoka Kitengo cha Mawasilino Halmashauri ya Madaba

Septemba 28,2023.

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa