• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

BARABARA za Kata ya Lituta Halmashauri ya Madaba kuwekwa changalawe

Posted on: November 21st, 2022

MWENYEKITI wa Halmashauri ya Madaba Theophanes Mlelwa amefanya mkutano na wananchi wa Kata ya Lituta kwa lengo la kusikiliza kero zao na kuhakikisha zinatatuliwa.

Akizungumza katika Mkutano huo Mwenyekiti ameelezea namna ambavyo Serikali ya awamu ya sita inavyotatua changamoto hizo kwa kuhakikisha Madaba inakuwa na Barabara,Maji , upatikanaji wa Mbolea za Ruzuku  pamoja na huduma zingine nyingi kwa wananchi hao.

“Seikali ya Rais Samia pamoja na Mbunge wetu  Joseph Mhangama wanatupenda madaba wamehakikisha kila mtaa barabara zimechongwa na kutoka Halmashauri mpaka Hospitali ya Wilaya itatengenezwa kwa kiwango cha lami”.

Meneja wa TARURA Wilaya ya Songea John Masatu akizungumza katika mkutano huo amesema Serikali ya awamu ya Sita imejikita kuboresha mji wa Madaba hasa kata ya Lituta kwa upande wa miundombinu.

Amesema mwaka wa fedha uliopita 2021/2022  kwa kushirikiana na uongozi wa Halmashauri walijikita kufungua Barabara zote za Kata ya Lituta.

Masatu ameeleza changamoto zilizojitokeza katika ufunguzi wa Barabara hizo ikiwemo katika ujenzi wa Madaraja na Makaravati lakini yamekamilika na zimeanza kutumika.

“Serikali inampango maalumu Barabara zote zilizokuwa zinasumbu katika kipindi cha masika  zinawekewa   kifusi cha changalawe”.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Kitengo Cha Mawasiliano Serikalini  Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Madaba

Novemba 20,2022.

 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa